Biashara kati ya Tanzania na China,

Biashara kati ya Tanzania na China,

Eddie Nas

Member
Joined
Jun 14, 2013
Posts
14
Reaction score
0
Waungwana me ninaishi na kufanyakazi China, lakini bado nataka kujishughulisha na business huko bongo, hivi ni business gani inalipa huko? Tatizo sijajua kama kuna business gani naweza kufanya, kama nikifanya na ikiwa na mafanikio basi nitakua naleta hata mzigo mkubwa tatizo sina idea ya business huko maana sometimes bongo watu tunakua wagumu katika malipo, nipeni ushauri wakuu. Eddie Nas, China
 
Biashara ni nyingi ambazo unaweza kufanya btn China na Tz,Then market ni kubwa sana especially kwa eletronics na mavazi ya kina dada....The issue is kupata mtu mwaminifu Tanzania ambaye atakuwa ndio buyer wa hizo products.But for the time being weka price za commodity ambazo demand yake ni kubwa in Tz then angalia respond ya watu am sure utapata watu ambao mnaweza fanya bness.
 
Tatizo sometimes ni clients then watanzania tumeshakua na akili kuwa all Chinese products ni fake na hawaamini Chinese products lkn sio hivyo kwn mchina ni mfanya bznz mkubwa ulimwenguni huwa anatengeneza bidhaa kutokana na uwezo wa mteja kununua mchina ni mtu wa kutafuta soko ili auze bznz zake huku kila kitu kina fake yake na original yake kila kitu original basi mchina baada ya mwezi anatoa fake yake wkt mwengine unaweza kuingia kichwa kichwa kwn fake haitofautiani saaaana na original sasa watu wengi wanaingiaa kichwa kichwa wanauziwa fake products wakijua ni original then wanachafua Chinese products watu tunakosaa soko
 
Back
Top Bottom