Encysis Inc
Member
- Jul 31, 2019
- 87
- 118
Habari,
Ni mjasiriamali wa Bidhaa za Ufugaji na Kilimo [(Mayai, Kuku na Kanga) (Mafuta ya Alizeti na Asali)]. Naomba Kufahamu Machache kuhusu:-
1. Uwezekano wa Kufanya Kazi katika visiwa vya Komoro
2. Nauli toka Tanzania to Comoro kwa Njia ya Maji bila mzigo
3. Mchakato wa Bandari ya Comoro
4. Changamoto za wazi
5. [emoji848][emoji848][emoji848]
Ni mjasiriamali wa Bidhaa za Ufugaji na Kilimo [(Mayai, Kuku na Kanga) (Mafuta ya Alizeti na Asali)]. Naomba Kufahamu Machache kuhusu:-
1. Uwezekano wa Kufanya Kazi katika visiwa vya Komoro
2. Nauli toka Tanzania to Comoro kwa Njia ya Maji bila mzigo
3. Mchakato wa Bandari ya Comoro
4. Changamoto za wazi
5. [emoji848][emoji848][emoji848]