Biashara katika kipindi cha Corona

Hamisi Mhoja

Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
22
Reaction score
23
Jamani nina Tsh. Milioni 5 na nina mpango wa kununua Mpunga.

Je, kutoka na ugonjwa huu nitapata faida baada ya Miezi 6?

Naomba ushauri Wafanyabiashara wenzangu.
 
Jamani nina Tsh. Milioni 5 na nina mpango wa kununua Mpunga.

Je, kutoka na ugonjwa huu nitapata faida baada ya Miezi 6?

Naomba ushauri Wafanyabiashara wenzangu.
ulishawah kufanya biashara kabla ya nafaka..?
 
Kachukue mzigo wa Nazi , msimu huu wa Ramadhan utauza sana


Hata business ya mchele ipo safi

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…