Biashara kila kona, mnaharibu ladha ya nchi

Hali ni ngumu sana mtaani, jua ni kali kweli kweli ! Kila mtu anahahgaika ili apate chochote kitu ale na familia! Bora hata hao walofungua biashara kiholela, umeshawawazia wale wanama wanazunguka na beseni la matunda ama kapu la mboga na jua kali ?? ! Je wale jamaa zangu machinga? Mtu anaamka tu anajitwisha mzigo, anaenda uelekeo wowote tu ilimradi apate mteja,,,, !
 
Kariakoo kwenye mitaa ambayo imetengenzwa barabara kwa ajiri ya magari kupita watu wamemwaga bidhaa zao wanauza halafu ukipita na gari(lengo mahususi la barabara kutengenezwa) unaambiwa hakuna njia.
Aisee ,
 
Ina sikitisha sana ndugu. Nafikiri mifumo wa maisha ulipaswa kurekebishwa.
 
Sayari si yetu sote basi nenda pale CRDB Bank Lumumba ingia safe chukua pesa na gold za kutosha au ingia Shamba lolote jichumie chakula ondoka zako! πŸ˜€
 
Sayari si yetu sote basi nenda pale CRDB Bank Lumumba ingia safe chukua pesa na gold za kutosha au ingia Shamba lolote jichumie chakula ondoka zako! πŸ˜€
Hahaha πŸ˜‚ πŸ˜‚ Kweli sayari sio yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…