Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,689
Habari zenu wakuu,
Nimekua nikiwaza uwezekano kufanya biashara ya kusafirisha kokoto (gravel) na building materials in large amounts katika visiwa vidogo (nchi) za jirani na Tanzania i.e. seychelles, mauritius, comoros na sehem zingine zenye uhaba wa miamba au uzalishaji wa kokoto mainly kwa ajili ya ujenzi.
In short ningependa kujua na kubadilishana mawazo imekaaje hyo ?? Kokoto zitakua zikitoka directly from plant nnje kidogo ya dar. Ma great thinker karibuni.
Thanks in advance.
Nimekua nikiwaza uwezekano kufanya biashara ya kusafirisha kokoto (gravel) na building materials in large amounts katika visiwa vidogo (nchi) za jirani na Tanzania i.e. seychelles, mauritius, comoros na sehem zingine zenye uhaba wa miamba au uzalishaji wa kokoto mainly kwa ajili ya ujenzi.
In short ningependa kujua na kubadilishana mawazo imekaaje hyo ?? Kokoto zitakua zikitoka directly from plant nnje kidogo ya dar. Ma great thinker karibuni.
Thanks in advance.