Biashara kwa wenye mitaji midogo

TEK

Senior Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
184
Reaction score
35
Kwa wale wenye mitaji midogo na wanayonia ya dhati ya kufanya biashara yoyote, hii ni kwaajili yako. Nibiashara nzuri ambayo inakufanya uwe na amani huku ukitengeneza kipato. 0763797853
 
Sorry sana wanajukwaa, hapa nazungumzia Neo Life kampuni ambayo ipo hapa nchini tangu mwaka 2009. Mtaji ni 250,000/= hauhitaji kupanga frame
 
Ainisha vizuri tukuelewe JF tunafanyia mambo jukwaani! eleza tuelewe ni biashara hani!
 
nitumie website yao nione hiyo kampuni
Sorry sana wanajukwaa, hapa nazungumzia Neo Life kampuni ambayo ipo hapa nchini tangu mwaka 2009. Mtaji ni 250,000/= hauhitaji kupanga frame
 
Sorry sana wanajukwaa, hapa nazungumzia Neo Life kampuni ambayo ipo hapa nchini tangu mwaka 2009. Mtaji ni 250,000/= hauhitaji kupanga frame

We utakuwa mgeni jf au la unataka kututapeli.. Hapa hatunaga biashara za kiwiziwizi.. Siwezi poteza vocha nikakuta biashara ya forever iliyo badilishwa jina lakini mtindo ule ule..
 
Nawashukuru kwa comments zenu. hii siyo forever living. Ni network market pia ilabidhaa zake si gharama kama FL. Tembelea www.gnld.com
 
The issue hapa siyo kufanya tu biadhara ilanikuona kila mtu anatafuta. Kitu kinaweza kikawa siyo msaada kwako ilakunamtu anahitaji. Unapotafuta usidharau alichopata mwenzako na hata akikushirikisha usimdharau ni namna tu ambavyotunatakiwa kupeana ujuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…