Omuyabhi Wasu
Member
- Aug 19, 2015
- 32
- 9
Calisah....anadai hakuna shida kama amelamba mkwanja mkubwa yeye hizi maviatu anavaa tu. Na kama nawe wataka kutangaza bidhaa za hivo weka mkwanja mezani biashara itakwenda bila shida yoyote. Haya sasa wenye bidhaa zilizokwama masoko, fursa "Calisahn"