Biashara matangazo

Omuyabhi Wasu

Member
Joined
Aug 19, 2015
Posts
32
Reaction score
9
Calisah....anadai hakuna shida kama amelamba mkwanja mkubwa yeye hizi maviatu anavaa tu. Na kama nawe wataka kutangaza bidhaa za hivo weka mkwanja mezani biashara itakwenda bila shida yoyote. Haya sasa wenye bidhaa zilizokwama masoko, fursa "Calisahn"
 

Attachments

  • 20171005_200633.png
    242.5 KB · Views: 90
Dunia ya sasa....kweli ipo mwishoni!!
 
Mdogo wangu calisah naona vyuma vimekubali maana hiyo ni zaidi ya six pak hahhahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…