life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,035
Naongezea hapo kuwa Serikali iweke msukumo wa kutosha kwanza kukamilisha Mradi unaoendelea barabara kubwa ya Morogoro na zingine zote zilizomo katika mradi huo. Inaonekana kuna hujuma ndani yake kwani jamaa wanaonekana kufanya kazi siku zote lakini maendeleo hatuyaoni.Sasa kila sehemu utataumia helcopter we jamaa vp ww...na watz wangapi wanaweza kutumia huo usafiri, suala ni sisi kuibana serikali itimize wajibu wake kuondoa hii shida ya foleni, huu mji hauna barabara za kutosha or so wapime mji mwingne nje ya huu...