Hivi kama mtu una channel ya kuleta wawekezaji toka Iran kuna zengwe lolote serikalini?
Jamaa ninadeal nao na naona wako straight kuliko waarabu wa Saudia, UAE na kwingine
Nishafanya nao biashara Zambia na Mozambique hawa wa Iran lakini naona bongo kuna zengwe left and right
Je mnanishaurije?
Jamaa pesa wanazo na hawana matatizo ya kuinvest kwenye sekta zote.
Jamaa ninadeal nao na naona wako straight kuliko waarabu wa Saudia, UAE na kwingine
Nishafanya nao biashara Zambia na Mozambique hawa wa Iran lakini naona bongo kuna zengwe left and right
Je mnanishaurije?
Jamaa pesa wanazo na hawana matatizo ya kuinvest kwenye sekta zote.