Wiki hii, TD bank ya Canada imefunga baadhi ya akaunti za wateja wake ambao kwa asili ni raia wa Irani na wamekuwa ama wakituma pesa au kupokea pesa toka Irani. Sababu zikiwa ni vikwazo ambavyo nchi ya Irani imewekewa.
Pia, Rais wa Tanzania amalimwa barua na mbunge toka nchi za Magharibi kwa ajili ya bendera za Tanzania kupeperushwa na meli za Iran. Hivi sasa serikali yetu inapambana na hilo jambo kuona kama itatotoa mjibu ya kuwaridhisha wakubwa hawa.
Unganisha haya mawili pamoja na ushauri mwingine utakao pewa na wanaJF wengine, alafu fanya maamuzi yako.