Biashara na UTI kwa Sasa.

MLAU

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2007
Posts
4,726
Reaction score
3,363
Si ajabu sikuhizi ukienda hospitalini kuambiwa una UTI baada ya kupima mkojo.

Habari hizi zimenishtua kidogo kwasababu Sasa imekuwa kama ni biashara Fulani hivi kuhusu UTI.

Ma Doctor wengine wamevuka mpaka kwa kuwataka wenyewe UTI kuwaleta na wezi wao kapata tiba wakati UTI Si miongoni mwa mgonjwa ya ngono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…