MTEJA--Samaki bei gani?
MUUZA--150!
MTEJA--Mwisho?
MUUZA--Mkiani!
MTEJA--Mbona samki mwenyewe ka legea sana??.
MUUZA--Muulize lamda alikua shoga baharini.
MTEJA --Mbona una majibu ya shombo sana !!
MUUZA--Kwasababu na uza samaki ingekuwa na uza sukari majibu yangu yange kuwa matam