Biashara nayo ni wito

pauli jm

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2016
Posts
391
Reaction score
278
MTEJA--Samaki bei gani?

MUUZA--150!

MTEJA--Mwisho?

MUUZA--Mkiani!

MTEJA--Mbona samki mwenyewe ka legea sana??.

MUUZA--Muulize lamda alikua shoga baharini.

MTEJA --Mbona una majibu ya shombo sana !!

MUUZA--Kwasababu na uza samaki ingekuwa na uza sukari majibu yangu yange kuwa matam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…