DAMAS EDWARD
Member
- Aug 14, 2012
- 12
- 2
Kuna hoja tofauti kuhusu uwezo wa kibiashara walionao baadhi ya wafanyabiashara,kwa anayefahamu hili....
Ningependa kufahamu uwezo mkubwa wa kibiashara walionao baadhi ya wafanyabiashara wakubwa nchini Tanzania na East Africa kwa ujumla, Je, ni uwezo binafsi au kuna njia mbadala walizotumia kufikia hapo.
Are entrepreneurs born or made?
Ningependa kufahamu uwezo mkubwa wa kibiashara walionao baadhi ya wafanyabiashara wakubwa nchini Tanzania na East Africa kwa ujumla, Je, ni uwezo binafsi au kuna njia mbadala walizotumia kufikia hapo.
Are entrepreneurs born or made?