Biashara ni kipaji?

DAMAS EDWARD

Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
12
Reaction score
2
Kuna hoja tofauti kuhusu uwezo wa kibiashara walionao baadhi ya wafanyabiashara,kwa anayefahamu hili....

Ningependa kufahamu uwezo mkubwa wa kibiashara walionao baadhi ya wafanyabiashara wakubwa nchini Tanzania na East Africa kwa ujumla, Je, ni uwezo binafsi au kuna njia mbadala walizotumia kufikia hapo.

Are entrepreneurs born or made?
 
Wana kitu kinacho itwa Entreprenership Spirit, na hii spirt ni kutoka myooni mwao, na haipatikani Mhali popote pale ni hii ndo driving force katika mafanikio ya mjasirimali yoyote yule hapa Duniani na si Tanzania wala Kenya Pekee bali ni Dunia nzima

Kuhusu Born au Made, Ni kwamba Mjadara uliopo ni kwamba Entreprenership Spirit haiwezi fundishwa mahali popote pale so hata kama umejiunga Chuo na kupata elimu na baadae kuwa Mjasirimali still bado ulikuwa na zile chembe chembe za Ujasirimali na ulikuwa unahitaji boster,

So Made entrepreners still lazima awe na spirit ya ujasirimali na haiwezekani tu made, na hii ndo sababu unakuta watu wako chuo my be wanasomea Ufundu halafu anakuja kuibuka mtu mmoja na kuwa mjasirimali kupitia ufundi alio somea,

Bila kuwa na Entreprenership Spirit huwezi kuwa mjasirimali bali utakuwa mfanya biashara kama tulivyo wengi
 
1 - Uzoefu wa kufanya kwa muda mrefu na kuvumilia mengi waliyopitia.
2 - Rasilimali watu - wamejijengea network ya watu wengi muhimu ambao ni muhimu ktk biashara wanazofanya.
3 - Ujuzi. Wamejitahidi kutafuta na kupata ujuzi wa biashara wanazofanya.
4 - Mtaji wa kutosha. Wamewekeza mitaji ya kutosha ktk biashara zao.
5 - Imani kulingana na Mungu/ miungu yao. Wapo wanaotumia hirizi, freemasons, na wapo wachamungu wanaofuta miiko na kanuni za kiungu ktk uendeshaji biashara.
6 - Zali, Ngekewa, Bahati.
Are entrepreneurs born or made?[/QUOTE]
 
[/QUOTE]

Swali lako ni sawa sawa na kujiuliza hivi are employees born or made..? Jibu mi people are trainable if u train one to be an entreprenuer one will definately be an entreprenuer lakini dunia tunayoishi ni ile ya watu kua employees thats why tunaenda shule tukimaliza tunaambiwa tutafute kazi...umeona baaanaaaa
 
Nadhani kila kitu anachojua binadamu na kubobea katika hicho lazima awe amejifunza(nurture),tofauti na wanyama,mnyama anapozaliwa anakua tayari "naturally" anajua " specie" yake inamtaka aishi vipi.

Ndege anapototoa watoto wake haitaji kufundishwa atunze vipi,tayari anajua,tofauti na binadamu,uzazi tunajifunza,hakuna mtu anayezaliwa na asili ya kujua kitu flani,the same applies to entrepreneurship,sijui hayo ya spirit,nakini naamini,if one wants to be really good at something,they have to learn.
 

Born not made
 

wewe unaongea nini? Niambia hao wavumbuzi walisoma wapi kuvumbua vitu vyao? homa Edson waai angundua Balbu alisoma wapi? kama hujui ni Bora kukaa kimya,

Entreprenership haifundishwi, tatizo tunachanganya Madesa
 
wewe unaongea nini? Niambia hao wavumbuzi walisoma wapi kuvumbua vitu vyao? homa Edson waai angundua Balbu alisoma wapi? kama hujui ni Bora kukaa kimya,

Entreprenership haifundishwi, tatizo tunachanganya Madesa

Hivi kujifunza lazima kusoma!?Edison alipokua anafeli alikua anafanya nn kama kujifunza kupitia trial and error?na sidhani kama alizaliwa anajua kutengeneza bulb!haha!
 
Hivi kujifunza lazima kusoma!?Edison alipokua anafeli alikua anafanya nn kama kujifunza kupitia trial and error?na sidhani kama alizaliwa anajua kutengeneza bulb!haha!

Wewe nazani hata hujui kinacho zungumuziwa, so unajua tofauti ya Made na Born na je Edson aliluwa ni made Entrepreners?
 
Wewe nazani hata hujui kinacho zungumuziwa, so unajua tofauti ya Made na Born na je Edson aliluwa ni made Entrepreners?

Siamini katika made entrepreneurs,naamini watu wanazaliwa na tabia ambazo zinawawezesha kufanikiwa katika mambo flani,mfano mtu anazaliwa na kipaji cha kuongoza watu,huyo anaweza kufanikiwa kama entrepreneur.
 
Lakini the rest kuhusu entreprenurship huyu mtu anapaswa ajifunze,ni kawaida ya binadamu,na kujifunza si lazima ukae darasani,zipo njia nyingi.
 
Siamini katika made entrepreneurs,naamini watu wanazaliwa na tabia ambazo zinawawezesha kufanikiwa katika mambo flani,mfano mtu anazaliwa na kipaji cha kuongoza watu,huyo anaweza kufanikiwa kama entrepreneur.

Mbona hueleweki kabisa, wewe umesema Thomas Edson ni Made mara tna unadai huamini katika Made, kwa kifupi ni kwamba Made ni wale wanao kuwa wajasirimali baada ya either kufundishwa au kusomea kitu fulani wakati Born ni wale wanao zaliwa wakiwa wajasirimali ingawa sio kuzaliwa tu wapo wanao rithi yaani wanajikuta automatic wanaingia kwenye Ujasirimali kwa sababu ya factor nyingi ikwemo Mazingira, Familia zao, na kazalika,

Ila atalaamu wengi wa maswala ya Ujasirimali wanapingana na ishu ya Made wakisema hata kama umekuwa mjasirimali baada ya kufundishwa still mi lazima uwe na some element za ujasirimali tangu ukiwa mtoto ambazo ni spirit ya Ujasirimali, na hii ni kutokana na ukweli kwamba hata Vyuo ya maswala ya sayansi au hata vyuo vinavyo toa kozi za Ujasirimali unaweza kuta ni wacache sana wanao weza kuwa wajasirimali pamoja na kupigwa kozi za kujijiri mwanzo mwisho

So hata ukisoma na kupata Phd ya Entreprenership kama huna ile Spirit ni ndoto kuwa majsirimali, na that is true kwa sabbau kuna maprofesa wa Ujasirimali ila wanaogopa biashara kama ukoma,
 
Lakini the rest kuhusu entreprenurship huyu mtu anapaswa ajifunze,ni kawaida ya binadamu,na kujifunza si lazima ukae darasani,zipo njia nyingi.
Kitu anacho Jifunza Mjasirimali au kozi zinazo tolewa ni kama vile Jinsi ya Kundaa Business planing, Marketing, Finacila Plan, na zinginezo,

Ila Huwezi fundishwa jinsi ya Kutake Risk , huwezi fundishwa jinsi ya kuwa inovetor, huwezi fundishwa failure, na kazalika
 

Nimekusoma mkuu,mimi nilitafsiri born entrepreneurs kama ilivyo,ckujua definition yake,imenisaidia hii,asante.
 
thaks!
walau nimepata idea about born and made, kama kuna idea tofauti kuhusu hili tunaomba mchango wenu.
 
Sio kipaji bali ni ubunifu wao na kujitoa kwao
 
Kipaji labda ile kauli kwa wateja, yote unabidi ujifunze mf. Kumbukumbu za hesabu, ukopaji, na maarifa kuhusu biashara. Ukiwa na kipaji bila elimu ya biashara hakuna mafanikio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…