Biashara ni utamaduni sio elimu: wachaga, wakinga na wapemba wasio na elimu wanatoboa kupitiliza kuzidi wasomi wenye degree / masters

Biashara ni utamaduni sio elimu: wachaga, wakinga na wapemba wasio na elimu wanatoboa kupitiliza kuzidi wasomi wenye degree / masters

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Elimu inayozungumziwa hapa ni ya darasani (formal)

Chuoni unaweza kwenda kusomea degree business administration ama ya ujasiriamali na ukawa unapata 100 wenye mitihani kwa kujibu kwa usahihi kwamba mjasiriamali inabidi asikate tamaa, aipende biashara yake, asidokoe mtaji, awe mvumilivu kwa kujibana ili ajipanue kibiashara, asiwe muoga, n.k lakini je kwa vitendo utaweza ???

Biasara ili ufanikiwe inabidi uwe na sifa zake ndani ya dna ya mwili wako ama ufunzwe kwa vitendo nje ya darasa (informal eucation), hii mambo ya kuandika kwenye karatasi ni kama kusomea vita darasani kujua kwamba vita inahitaji ujasiri na kuchambua vipengere vya ujasiri kiundani lakini unafika huko vitani unatamani kukimbia huku ukibaki mdomo wazi kujiuliza ni vipi baadhi ya wakuria uliowakuta vitani ambao baadhi yao hata hawajafika form 4 wana ujasiri ?, 😂

ni kwamba ipo hivi, kama una dna ya biashara unaweza hata ukaenda kusoma chuo na ukafeli kozi ya biashara lakini ukianza biashara ya vitando ukafanikiwa tofauti na yule ambae kwenye karatasi la mtihani anapata 100 lakini ukimleta uwanjani anapata F, yule mwenzake alieshindwa mtihani wa darasani ndio anaanza kuwa mwalimu wake katika ulimwengu wa biashara kiuhalisia,

Umepata hasara kidogo tu ama hujauza siku nzima unaanza kulia ?? hivi utaweza biashara kweli ??

katika haya makundi wana tamaduni nzuri kwenye biashara, watoto huandaliwa mapema kurithishwa biashara na pia kuna kupeana mitaji kwa lengo la kubebana, makabila mengine mengi hali no tofauti huwa kulna ile kila mtu ajoambanie mwenyewe hakuna kubebana na ukibebwa basi uwe chini ya aliekubeba, kuna umimi na ubinafsi wa kujimilikisha vitu wenyewe hawataki kuwapa wengine kwa ushamba wa kutaka kuwa juu kuzidi ndugu wengine.

Biashara ni kitu ambacho naweza kusema ni asilia kwa kiwango kikubwa, ukiona kwamba jamii inaweka biashara mbele kuliko hata elimu ujue hao biashara imo ndani ya damu.
 
Hao watu wote(Mchaga,Mjinga na mwarabu) umekutana nao wewe tu mkuu?
 
Mwanetu hakuna kitu cha maendeleo kinachoweza tokea bila elimu

Kunaformal Education na Informal education.
 
-Ninamjua mkinga mwenye mashamba na mahoteli mtoto wake lishaanza chuo, mwaka wa kwanza ule ule alimwambia aache chuo, dogo alikuwa mbishi nae mzee akamkazia sikulipii ada, dogo kwa sasa anatembelea vx.

-ninamjua mchaga huyu nahisi alilia machozi, alipata scholarship ya kwenda kusomea masters nje ya nchi akapigwa stop, walimwambia degree yake inatosha asaidie biashara, kwa sasa kachana msamba,

- Funga kazi ilikuwepo kwa muarabu tulisoma nae darasa moja, mtihani wa form 6 hakuweza kuufanya, kuna scania zilipata matatizo huko njiani mzee wake akamwambia aende kutatua, huo mtihani aache
 
Namuonaga mtu mjinga sana...akidharau elimu...
Elimu inayozungumziwa hapa ni ile ya formal inayotolewa vyu vyet vya hapa bongo ambavyo hata walimu wake wamefaulu kwenye makaratasi
 
Mchaga=Wizi, utapeli + ushirikina

Mkinga= Ushirikina mtupu, UA mtoto au mke usile vizuri nyumba Kubwa ila unaambiwa lala chini usitumie godoro.

Mpemba= Ushirikina. Nilikutana na mpemba mmoja Madibila Iringa anakusanya mpunga wa milioni 110 na hela zote anakaa nazo guest bubu cash na hakuna mwizi, kibaka wala dalali wa kumtapeli, gusa unase.
 
Akili za watu waliofeli maisha.
Mchaga=Wizi, utapeli + ushirikina

Mkinga= Ushirikina mtupu, UA mtoto au mke usile vizuri nyumba Kubwa ila unaambiwa lala chini usitumie godoro.

Mpemba= Ushirikina. Nilikutana na mpemba mmoja Madibila Iringa anakusanya mpunga wa milioni 110 na hela zote anakaa nazo guest bubu cash na hakuna mwizi, kibaka wala dalali wa kumtapeli, gusa unase.
 
Elimu inayozungumziwa hapa ni ya darasani (formal)

Chuoni unaweza kwenda kusomea degree business administration ama ya ujasiriamali na ukawa unapata 100 wenye mitihani kwa kujibu kwa usahihi kwamba mjasiriamali inabidi asikate tamaa, aipende biashara yake, asidokoe mtaji, awe mvumilivu kwa kujibana ili ajipanue kibiashara, asiwe muoga, n.k lakini je kwa vitendo utaweza ???

Biasara ili ufanikiwe inabidi uwe na sifa zake ndani ya dna ya mwili wako ama ufunzwe kwa vitendo nje ya darasa (informal eucation), hii mambo ya kuandika kwenye karatasi ni kama kusomea vita darasani kujua kwamba vita inahitaji ujasiri na kuchambua vipengere vya ujasiri kiundani lakini unafika huko vitani unatamani kukimbia huku ukibaki mdomo wazi kujiuliza ni vipi baadhi ya wakuria uliowakuta vitani ambao baadhi yao hata hawajafika form 4 wana ujasiri ?, 😂

ni kwamba ipo hivi, kama una dna ya biashara unaweza hata ukaenda kusoma chuo na ukafeli kozi ya biashara lakini ukianza biashara ya vitando ukafanikiwa tofauti na yule ambae kwenye karatasi la mtihani anapata 100 lakini ukimleta uwanjani anapata F, yule mwenzake alieshindwa mtihani wa darasani ndio anaanza kuwa mwalimu wake katika ulimwengu wa biashara kiuhalisia,

Umepata hasara kidogo tu ama hujauza siku nzima unaanza kulia ?? hivi utaweza biashara kweli ??

katika haya makundi wana tamaduni nzuri kwenye biashara, watoto huandaliwa mapema kurithishwa biashara na pia kuna kupeana mitaji kwa lengo la kubebana, makabila mengine mengi hali no tofauti huwa kulna ile kila mtu ajoambanie mwenyewe hakuna kubebana na ukibebwa basi uwe chini ya aliekubeba, kuna umimi na ubinafsi wa kujimilikisha vitu wenyewe hawataki kuwapa wengine kwa ushamba wa kutaka kuwa juu kuzidi ndugu wengine.

Biashara ni kitu ambacho naweza kusema ni asilia kwa kiwango kikubwa, ukiona kwamba jamii inaweka biashara mbele kuliko hata elimu ujue hao biashara imo ndani ya damu.
Biashara ni kitu gani?
 
Jamaa kwa ukabila umezidi punguza mkuu ,itakusaidia sana kufanikiwa
 
Mchaga=Wizi, utapeli + ushirikina

Mkinga= Ushirikina mtupu, UA mtoto au mke usile vizuri nyumba Kubwa ila unaambiwa lala chini usitumie godoro.

Mpemba= Ushirikina. Nilikutana na mpemba mmoja Madibila Iringa anakusanya mpunga wa milioni 110 na hela zote anakaa nazo guest bubu cash na hakuna mwizi, kibaka wala dalali wa kumtapeli, gusa unase.
Kumbe na wewe ulimfahamu yule Mpemba wa Madibila jamaaa kiboko
 
Back
Top Bottom