Biashara ni wazo.

Biashara ni wazo.

Ibrahimeliza

Member
Joined
Nov 25, 2020
Posts
37
Reaction score
26
Biashara bwana, najua kuna watu wanatamani mafanikio ya bakhresa au Mo au GSM au mafanikio ya tajiri yoyote yule, Husitamani mafanikio ya bakhresa, mo, gsm au yoyote aliyefanikiwa.
Unajua chakutamani ni nini....?? Binafsi natamani ningekuwa na ujuzi kama MO, natamani ningekuwa na uzoefu katika biashara kama mzee wangu bakhresa,, natamani ningekuwa na busara kama za marehemu mzee mengi, natamani ningekuwa na uvumilivu kama rostam azizi, natamani ningekuwa na ujanja katika biashara kama GSM, Natamank ningekuwa mbunifu katika biashara kama fatema dewji, natamani ningekuwa jasiri katika biashara.
Hivyo ndoninavyotamani wewe unatamani nini...??
 
Hao wote uliowataja asilimia kubwa biashara zao wamerithi kutoka kwa baba zao.
Mo peke yake, gsm kapambana rostam kapambana, bakhresa hata wewe unalijua hilo kapambana, mengi marehemu alipambana
 
Ila mnajua tajiri hatorithi ufalme wa Mbinguni?

Kilicho kwenye Utajiri ni stress , usalama wako 0% , magonjwa, na watu kuweka kwenye category ( kukosa amani)

Ishi maisha ya kawaida duniani kwa miaka 40 ilibakia , ukiwa na MUNGU , furaha , na afya tele
 
Back
Top Bottom