Biashara nje ya nchi.

KISHINDO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
2,165
Reaction score
1,906
Habari zenu wakuu wa jukwaa la watu wazima wenye akili zao timamu.
Naombeni msaada wa taratibu za kufuatwa ili mtu aweze kufanya biashara nje ya nchi. Mf. Tz na china, uganda, kenya, au nchi nyingine.

Nawasilisha.
 
Kila biashara ina taratibu zake,mfano kama biashara ya chakula basi itakulazimu uwatafute watu wa tfda wakupe leseni,kama hardware itakulazimu uwatafute watu wa tbs etc!
 
Kila biashara ina taratibu zake,mfano kama biashara ya chakula basi itakulazimu uwatafute watu wa tfda wakupe leseni,kama hardware itakulazimu uwatafute watu wa tbs etc!

Ahsante sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…