Mara nyingi tunashauliwa kufanya tunachopenda, mfano waweza kushauliwa ufanye biashara ya samaki, sawa utafanya na faida utapata, lakini utajikuta hupendi ile shombo hivyo japo faida unapata itakuwia vigumu kuisimamia kwa ufasha kwa sababu ya ile shombo.