Juma WALEO
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 204
- 40
Benki.
Kufunga na kuombanimepitia mawazo mengi sana humu JF yakitoa namna ya kubuni wazo la kuboresha kipato!
Ila ni jia ipi ya kupata mtaji??
mkuu bank masharti kibao mara dhamana mara uwe na kikundi je mtu mmoja unafanyaje?
Haswaa!cha muhimu ni idea ya nn unataka kufanya.sio lazima benki kuna watu wengi wana pesa na wengine hawajui wafanye nn nazo.come up with a business plan/idea.lete hapa watu watAkusaidia.Anza na wazo LA mradi, Fanya upembuzi yakinifu ili mradi utekelezeke na ulete tija, weka katika maandishi ikibidi na hata kwa powerpoint. Nenda benki, onana na Meneja, jieleze vizuri kwa mdomo, Kisha mkabidhi makarati. Weka wazi unachohitaji kutoka kwake (benki)