Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 597
- 549
Habari zenu mimi nauza carton za karatasi size A4 gm 80 Bei sh.57,000 mawasiliano 0714954609 pia mikoani natuma bila tatizo na kwa uaminifu.Nyote mnakaribishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umelazilimishwa babu wewe ukikataa wengine wananua mbona kitu haikikuusu potezea unakua kama mwanamke mwenye mimbaHuku niliko @Katoni ni 48,000! Na ni Mkoani. Kwa hiyo ni bora ukabaki nazo tu huko huko.
Dogo kuwa mpole. Huna sababu ya kutukana, au kuwahusisha mama na dada zako kwenye mambo yako binafsi.Umelazilimishwa babu wewe ukikataa wengine wananua mbona kitu haikikuusu potezea unakua kama mwanamke mwenye mimba
Makasiriko.. Kwa hili deni la taifa. Tutafika tuUmelazilimishwa babu wewe ukikataa wengine wananua mbona kitu haikikuusu potezea unakua kama mwanamke mwenye mimba
Nimechukizwa uliposema Baki nazo umeongea dharau Mimi sijawahi kuleta dharau pia jiheshimu ukiona potezea ujifunze polite language Haina uhalisia usinifundishe biashara aisee manake wengine wakipost mbona hamkebehi cpendi dharau potezea wewe ndio unayeuza?EboohDogo kuwa mpole. Huna sababu ya kutukana, au kuwahusisha mama na dada zako kwenye mambo yako binafsi.
Nimekuambia wenzako huko Mikoani wanauza hiyo Katoni ya rim kwa elfu 48! Unatakiwa ujifunze tu kwamba hiyo bei yako haina uhalisia.
Punguza kiherehereMakasiriko.. Kwa hili deni la taifa. Tutafika tu
Kha!!Nimechukizwa uliposema Baki nazo umeongea dharau Mimi sijawahi kuleta dharau pia jiheshimu ukiona potezea ujifunze polite language Haina uhalisia usinifundishe biashara aisee manake wengine wakipost mbona hamkebehi cpendi dharau potezea wewe ndio unayeuza?Ebooh