Biashara: Ufaransa-Tanzania

Biashara: Ufaransa-Tanzania

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,053
Reaction score
3,259
Habari wadau .
Najua huku naweza kupata ushauri mzuri wa kiiashara.
Na jambo dogo tu nataka kuuliza kwa wazoefu wa kusafiri pamoja na wafanyabiashara wakubwa .
Nna Access ya kutumiwa mzigo wa biashara kutoka nchi ya Ufaransa ,ila mpaka sasa Sijajua ni bidhaa gani amabazo zitafaa kuuzika hapa Tanzania kutoka Ufaransa ,hivyo kwa yeyyote mwenye utaalamu na ushauri juu ya hili naomba tushirikishana .

Natanguliza shukrani.
 
Habari wadau .
Najua huku naweza kupata ushauri mzuri wa kiiashara.
Na jambo dogo tu nataka kuuliza kwa wazoefu wa kusafiri pamoja na wafanyabiashara wakubwa .
Nna Access ya kutumiwa mzigo wa biashara kutoka nchi ya Ufaransa ,ila mpaka sasa Sijajua ni bidhaa gani amabazo zitafaa kuuzika hapa Tanzania kutoka Ufaransa ,hivyo kwa yeyyote mwenye utaalamu na ushauri juu ya hili naomba tushirikishana .

Natanguliza shukrani.

Kwanza Kabisa jaribu kumuuliza huyo mwenyeji wa Huko kuna nini na nini ambacho kinaweza kuuzika bongo.
Kwa ufupi nchi ya Ufaransa niijuavyo mimi kuna perfume tena original za kila aina , nguo za kike na kiume ,viatu vya kike na kiume pamoja na dress material ambapo ma designer wengi wanaenda kununua kule so choice is urs
 
Tatizo hizi products hapa Bongo feki zimetawala ataukimwambia mteja hii ni original hatakuamini.

Sikushauri ununue kitu ufaransa uje kuuza kitu hapa bongo.

Vitu vinauzwa china bei ya kutupa
 
Habari wadau .
Najua huku naweza kupata ushauri mzuri wa kiiashara.
Na jambo dogo tu nataka kuuliza kwa wazoefu wa kusafiri pamoja na wafanyabiashara wakubwa .
Nna Access ya kutumiwa mzigo wa biashara kutoka nchi ya Ufaransa ,ila mpaka sasa Sijajua ni bidhaa gani amabazo zitafaa kuuzika hapa Tanzania kutoka Ufaransa ,hivyo kwa yeyyote mwenye utaalamu na ushauri juu ya hili naomba tushirikishana .

Natanguliza shukrani.

Mwambie huyo tajiri yako kuwa kwa sasa tuna ubia na China, soko lote lilishatekwa! Guangzhou bado inatapika bidhaa ya kila aina kwa bei ya kutupwa!
 
Back
Top Bottom