Biashara United (Mara) | Special Thread

Aisee kweli wewe poti. Lakini kwa nini umeparuka Nyarusurya?...nikikutajia jina langu halisi la ukoo utapajua mpaka nyumbani ha ha ha ha basi kama upo Majengo mapya karibu na kwa marehemu Soku Fasion, basi salam zimfikie Familia ya Mzee Cherehan!
Hahaahaaa basi Nyasurula shule ya msingi Pembeni tu hapa kilia Kwa Maanda Ndio nyumbani kwa mama... Ukienda Nyegina jirani na Mzee Maway ndio kwetu kwa Babu.... Chama letu hili
 
Kufungwa sio shida kwa kipindi hiki,cha msingi tuweke malengo kubaki ligi kuu kwa msimu huu kuliko kukomalia umaarufu ambao hatuna kwa sasa.
Tukikutana na wanyonge wenzetu kama yanga,tuhakikishe tunachua point zote 3.
Hivi kauli mbiu ya BUFC inasemaje wadau?
 
Hahaahaaa basi Nyasurula shule ya msingi Pembeni tu hapa kilia Kwa Maanda Ndio nyumbani kwa mama... Ukienda Nyegina jirani na Mzee Maway ndio kwetu kwa Babu.... Chama letu hili
Ha ha ha ha ha umenipeleka Musoma kwa lazima muda huu dah!
 
Game ya Leo kipa katuokoa sana... Maforwad wetu wametuangusha... Msanii msimu huu hatushuki.. Tujipange jaji
Kabisa. Kipa ametuokoa sana nadhani zile furu za Mwigobelo alizokula zinamsaidia sana kuwa makini!

All in all timu yetu ni nzuri.

Kushuka daraja atashuka labda Alliance ila sio ya Musoma tech!
 

Me sijajua ilipo shindwa ni wapi mana wakati inapigania kupanda daraja ilikuwa inatembeza kichapo tu au ndo malipo ni hapa hapa dunian

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatema Abhalisya mura ndo kauli mbiu hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…