Biashara United (Mara) | Special Thread

Naona timu yangu ya nyumbani inashindwa kuutumia uwanja wake wa nyumbani vizuri....

Naona leo ni draw ya tatu tunaipata nyumbani...

Ni nini? Hasa kilichoikumba safu yetu ya ushambulizi,naanza kupata wasiwasi kama tutasalimika baada ya msimu kuisha...
 
Hahaaa ckuwa na cm mkuu ila Jana tumetoa droo na jkt Tanzania
Nina was wasi yule Golikipa Nurdin Barola atasepa zake maaana kiwango chake kimeanza kuwatoa udenda wakubwa wa ligi, time will tell.
 
Mambo ni mazuri mpaka dakika hii kwa upande wa biashara united dhidi ya yanga afrika uwanja wa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…