Biashara vifaa vya ufundi simu Nairobi

Biashara vifaa vya ufundi simu Nairobi

Wilhelm Johnny

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2016
Posts
1,368
Reaction score
1,325
Wakuu habari za masiku nilikua naomba msaada mimi ni fundi simu nilikua nimeandaa bajeti ya. Milioni 1 nataka kuboost ofisi vifaa navyotaka kuongeza NI UFI Box,Digital Power Supply na Short killer. Hiyo bajet kwa dsm naona kama haitoshi UFI Box tu kwa dsm ni 750000.

Nilikua naomba kujuzwa na bei za kwa jirani zetu kenya 🇰🇪 hapo bei zao zikoje kama vipi nifate huko kulingana na bajeti yangu

naomb mnisaidie kuwatag na wale ndugu zetu wakenya hapo
 
Acha hio kazi ,hio milion kawekeze kwenye kilimo cha Ufuta walau heka moja mkoani morogoro, utakuja kunishkuru
 
Acha hio kazi ,hio milion kawekeze kwenye kilimo cha Ufuta walau heka moja mkoani morogoro, utakuja kunishkuru
Ngoja nijipange kwanza na haka kashughuli nitawekeza huko kwingine taratibu ngoja nikusanye nguvu huku huku
 
Acha hio kazi ,hio milion kawekeze kwenye kilimo cha Ufuta walau heka moja mkoani morogoro, utakuja kunishkuru
Heheeee..unataka kumpeleka chaka mwenzako?

Nakushauri kanunua hivyo vifaa kwaanjili ya ofisi yako.

#MaendeleoHayanaChama
 
Acha hio kazi ,hio milion kawekeze kwenye kilimo cha Ufuta walau heka moja mkoani morogoro, utakuja kunishkuru
Morogoro ufuta unalimwa maeneo gani?

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom