Wadau habari zenu
Kuna jambo moja linanitatiza wakuu nimeona nililete kwenu,mimi najihusisha na biashara ndogondogo,nimekua njia panda juu ya nini cha kukifanya mara nipatapo faida,ipi approach nzuri,niendelee kuwekeza katika kuikuza hiyo biashara ndogo au niwekeze kwenye biashara zingine pia(diversification).
Kwa uzoefu wenu na utaalam,ipi bora?
Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
Kuna jambo moja linanitatiza wakuu nimeona nililete kwenu,mimi najihusisha na biashara ndogondogo,nimekua njia panda juu ya nini cha kukifanya mara nipatapo faida,ipi approach nzuri,niendelee kuwekeza katika kuikuza hiyo biashara ndogo au niwekeze kwenye biashara zingine pia(diversification).
Kwa uzoefu wenu na utaalam,ipi bora?
Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur