Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
Mwafrika usema "Do not put all your eggs in one basket" Naye mzungu usema
"put all your eggs in one basket and watch that basket"
unapenda lipi?
Mwafrika usema "Do not put all your eggs in one basket" Naye mzungu usema
"put all your eggs in one basket and watch that basket"
unapenda lipi?
Wadau habari zenu
Kuna jambo moja linanitatiza wakuu nimeona nililete kwenu,mimi najihusisha na biashara ndogondogo,nimekua njia panda juu ya nini cha kukifanya mara nipatapo faida,ipi approach nzuri,niendelee kuwekeza katika kuikuza hiyo biashara ndogo au niwekeze kwenye biashara zingine pia(diversification).
Kwa uzoefu wenu na utaalam,ipi bora?
Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
Mkuu hiyo ID yako vipi? au ndo mambo ya wachina?
aha ha! mkuu, chash na chasha nitofauti sana, ni kama car na care, utasema car ni kichina ya care?
No mkuu katika kusajili majina kuna sheria zinazo ongoza mfano mambo ya Phonetic, so hapo ukija kwenye Phonetic na too like hairuhusiwi wewe kutumia hilo jina
Mfano: Charls Comapy Ltd haiwezi kusajiliwa kama kuna Charles Compay LTD,
KAKA NIMEIPENDA HII YA `"Put all your eggs in one basket and watch that basket"Mwafrika usema "Do not put all your eggs in one basket" Naye mzungu usema
"put all your eggs in one basket and watch that basket"
UT ALL YOU EGG IN ONE
unapenda lipi?
Mwafrika usema "Do not put all your eggs in one basket" Naye mzungu usema
"put all your eggs in one basket and watch that basket"
unapenda lipi?
Mkuu huo msemo "do not put all eggs in one basket" ndo unaotumika na wadhungu kwa sana.
According to Warren Buffet: During Investment...Do not put all eggs in one basket....Wadau habari zenu
Kuna jambo moja linanitatiza wakuu nimeona nililete kwenu,mimi najihusisha na biashara ndogondogo,nimekua njia panda juu ya nini cha kukifanya mara nipatapo faida,ipi approach nzuri,niendelee kuwekeza katika kuikuza hiyo biashara ndogo au niwekeze kwenye biashara zingine pia(diversification).
Kwa uzoefu wenu na utaalam,ipi bora?
Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur