consigliori
JF-Expert Member
- Mar 29, 2010
- 392
- 89
Next time ukija uwe umeshafannya research kwani inaelekea hujajiandaa na hujui ufanye nini sikuvunji moyo ila nakuambia ukweli biashara yenyewe umesema ni AirTicket ndege zenyewe ziko wapi??
Ushauri nenda pale stand ya mkoa tafuta sehemu weka ofisi wewe kazi yako itakuwa ni kuwa na contacts za mahoteli/ guest house sana sana na madereva taxi wewe anza kutafuta abiria sana sana wa mikoani wakija pale una organise na taxi taxi inamchukua mpaka hotelini kuanzia kwenye taxi mpaka hotelini anakuwa halipi kama akisema kuwa anakaa siku tatu anakuwa halipi pale hotelini kwa siku zote tatu na taksi hajalipia ila package yote amekuwa kakupa wewe hivyo basi then wewe unalipa hoteli, na taksi unabakiwa na commision yako
Au hotel na taksi wanakuwa wanalipa fee mfano ili hoteli na taksi ziwe katika orodha yako ya ku recommend wateja waende kwao ni lazima walipe fee kiwango flani hii so mteja mnaongea nae kabla hata ya safari na mteja anakuambia kuwa anataka kukaa hoteli za sinza ww unaorganise zile hoteli/ guest nzuri unampa option unakuwa na picha na kila kitu hapo let's say ni moshi (una ofisi yako pale) then akifika dar mfanyakazi wako anaenda kumpokea (wadada warembo kavaa uniform) then anampeleka kwenye taxi mpaka hotelini anamkabidhi... Then anarudi ofisini hivyo hivyo unafungua branch nchi zima unaongea na wakubwa wa invest waweke pesa zao chafu pale (usishangae wakatunga na sheria kuwa ni lazima watu wanaokuja dar wajisajiri kwenye kampuni yako kwa kisingizio cha kukwepa ujambazi hii ndio tanzania kila kitu kinawezekana so long as unakula na mkubwa... Baada ya miaka mitano story zako utakuwa unapiga na kina Manji, zakaria.. Trust me akili za mbayu wayu changanya na zako
umecopy na kupaste wamjini wanakuita kila.......Next time ukija uwe umeshafannya research kwani inaelekea hujajiandaa na hujui ufanye nini sikuvunji moyo ila nakuambia ukweli biashara yenyewe umesema ni AirTicket ndege zenyewe ziko wapi??
Ushauri nenda pale stand ya mkoa tafuta sehemu weka ofisi wewe kazi yako itakuwa ni kuwa na contacts za mahoteli/ guest house sana sana na madereva taxi wewe anza kutafuta abiria sana sana wa mikoani wakija pale una organise na taxi taxi inamchukua mpaka hotelini kuanzia kwenye taxi mpaka hotelini anakuwa halipi kama akisema kuwa anakaa siku tatu anakuwa halipi pale hotelini kwa siku zote tatu na taksi hajalipia ila package yote amekuwa kakupa wewe hivyo basi then wewe unalipa hoteli, na taksi unabakiwa na commision yako
Au hotel na taksi wanakuwa wanalipa fee mfano ili hoteli na taksi ziwe katika orodha yako ya ku recommend wateja waende kwao ni lazima walipe fee kiwango flani hii so mteja mnaongea nae kabla hata ya safari na mteja anakuambia kuwa anataka kukaa hoteli za sinza ww unaorganise zile hoteli/ guest nzuri unampa option unakuwa na picha na kila kitu hapo let's say ni moshi (una ofisi yako pale) then akifika dar mfanyakazi wako anaenda kumpokea (wadada warembo kavaa uniform) then anampeleka kwenye taxi mpaka hotelini anamkabidhi... Then anarudi ofisini hivyo hivyo unafungua branch nchi zima unaongea na wakubwa wa invest waweke pesa zao chafu pale (usishangae wakatunga na sheria kuwa ni lazima watu wanaokuja dar wajisajiri kwenye kampuni yako kwa kisingizio cha kukwepa ujambazi hii ndio tanzania kila kitu kinawezekana so long as unakula na mkubwa... Baada ya miaka mitano story zako utakuwa unapiga na kina Manji, zakaria.. Trust me akili za mbayu wayu changanya na zako
umecopy na kupaste wamjini wanakuita kila.......