Habari wana JF. Nimekuwa nikifanya biashara ya grocery kwa mda sasa sema changamoto kubwa ninayokumbana nayo ni wingi wa madeni(nadai wateja), sasa nikawa nafikiria pengine nikihama eneo na kujipanua nikaanzisha Bar ya kawaida maybe ntakuwa nimesolve hii ishu ya kukopwa sana. Kama kuna mtu ana experience na hii biashara(Bar) ushauri wenu tafadhari[emoji120]