Biashara ya bia za jumla.

Biashara ya bia za jumla.

ng'wanankamba

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2010
Posts
346
Reaction score
120
Wadau, nataka kufanya biashara ya kuuza bia za jumla. Kwa mtu mwenye uzoefu na biashara hiyo naomba anisaidie kujua mambo kadhaa kama vile kreti ngapi zinatosha kuanzia, upatikanaji wa bia ie unafuata kiwandani au wanakuletea, bei ya kununulia na bei ya kuuzia pia faida kwa kreti moja. Natanguliza shukurani.
 
Ngoja waje wataaalam upewe data sahihi!! Wengine sisi ni WATUMIAJI wa rejareja.....Hata bei ya crate lazima tuzidishe bei ya chupa mara 25:tongue:
 
Back
Top Bottom