Biashara ya binadamu yaendelea kuumiza Zanzibar

Biashara ya binadamu yaendelea kuumiza Zanzibar

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Zanzibar Imekuwa Ikitumika Kama Njia Ya Biashara Hii kwa Kutumia Kipengele Cha Ajira Nje. Ya Nchi Ambapo Baadhi ya Watu husafiri Kwenda Nchi Kwa Ajira Ya Kutafuta Ajira.

Na Husafiri Bila Kuwa Na Mkataba Wa Ajira Ambao Umethibitishwa Na Ofisi na Ofisi za Kibalozi za Nje ya Nchi ya Yetu.

Mwaka 2022 Vijana Wa Kizanzibari Walitoweka Katika Mazingira Ya Kutatanisha Na Baadhi ya Ndugu Wa vijana Hao Walisema Inawezekana Wapendwa Wao Wameingia Kwenye Biashara Haramu Ya Binadamu Na Kupelekwa kwenye Makundi ya Kigaidi.

Modrick Soga Waziri Wa Utalii Zanzibar Amesema kuwa Kipindi Cha Januari Hadi August Mwaka 2024 Idara Ya Uhamiaji Ilifanikiwa Kuwapata Waathirika watatu (03) kutoka china.

Na Katika Hatua Nyingine Amesema kuwa katika Kuthibiti Biashara Haramu Serikali Inatumia Mfumo Wa Uthibiti Wa Mipaka Yaani (ELECTRONIC BORDER MANAGEMENT AND CONTROL SYSTEM) Amboa Unawezesha Serikali Kuweka kumbukumbu za Uhalifu Ambao Wanavuka Mipaka Na Kuingia Zanzibar
Chanzo.Mwanzo Tv
 
Zanzibar Imekuwa Ikitumika Kama Njia Ya Biashara Hii kwa Kutumia Kipengele Cha Ajira Nje. Ya Nchi Ambapo Baadhi ya Watu husafiri Kwenda Nchi Kwa Ajira Ya Kutafuta Ajira.

Na Husafiri Bila Kuwa Na Mkataba Wa Ajira Ambao Umethibitishwa Na Ofisi na Ofisi za Kibalozi za Nje ya Nchi ya Yetu.

Mwaka 2022 Vijana Wa Kizanzibari Walitoweka Katika Mazingira Ya Kutatanisha Na Baadhi ya Ndugu Wa vijana Hao Walisema Inawezekana Wapendwa Wao Wameingia Kwenye Biashara Haramu Ya Binadamu Na Kupelekwa kwenye Makundi ya Kigaidi.

Modrick Soga Waziri Wa Utalii Zanzibar Amesema kuwa Kipindi Cha Januari Hadi August Mwaka 2024 Idara Ya Uhamiaji Ilifanikiwa Kuwapata Waathirika watatu (03) kutoka china.

Na Katika Hatua Nyingine Amesema kuwa katika Kuthibiti Biashara Haramu Serikali Inatumia Mfumo Wa Uthibiti Wa Mipaka Yaani (ELECTRONIC BORDER MANAGEMENT AND CONTROL SYSTEM) Amboa Unawezesha Serikali Kuweka kumbukumbu za Uhalifu Ambao Wanavuka Mipaka Na Kuingia Zanzibar
Chanzo.Mwanzo Tv
Na hii kesi ya wazanzibar kwenda nje kufanya kazi iko sirias sana mkuu mana naona kule kupelekwa nchi za Arab ni kugusa tu. Na mawakala wa hii ishu wapo kila kona
 
Na Katika Hatua Nyingine Amesema kuwa katika Kuthibiti Biashara Haramu Serikali Inatumia Mfumo Wa Uthibiti Wa Mipaka Yaani (ELECTRONIC BORDER MANAGEMENT AND CONTROL SYSTEM)
Okay ni vema na Haki......
Amboa Unawezesha Serikali Kuweka kumbukumbu za Uhalifu Ambao Wanavuka Mipaka Na Kuingia Zanzibar
Chanzo.Mwanzo Tv
Kwahio huo mfum,o unasema huyu ni muhalifu anaingia (kama ndivyo kwanini wasimkatalie kuingia) na kwamba huyu ni muhalifu na anaondoka (kama ndivyo kwanini wasimpeleke korokoroni au kumwambia good riddance, kwaheri na never return)?
 
Back
Top Bottom