Habari zenu wanajamii,
Kuna kipindi nilikuwa nafanya biashara ya bodaboda mwanzoni ilikuwa nzuri na inalipa ila kadri siku zilivyozid kwenda ikaanza kuzingua na madereva kuanza kuleta uswahili mwingi, natamani kuiacha ila bado naipenda hii biashara kwa wale wataalamu wa biashara hasahasa za bodaboda ama yoyote mwenye wazo nifanye nini ili hii biashara izidi kunilipa na niendelee kuipenda na kuifurahia?
Kuna kipindi nilikuwa nafanya biashara ya bodaboda mwanzoni ilikuwa nzuri na inalipa ila kadri siku zilivyozid kwenda ikaanza kuzingua na madereva kuanza kuleta uswahili mwingi, natamani kuiacha ila bado naipenda hii biashara kwa wale wataalamu wa biashara hasahasa za bodaboda ama yoyote mwenye wazo nifanye nini ili hii biashara izidi kunilipa na niendelee kuipenda na kuifurahia?