A love
Member
- May 17, 2021
- 93
- 119
Habari zenu wana JF,
Ninaomba taarifa juu ya biashara ya bucha ya nyama ya ng'ombe na Mbuzi, inapaswa niwe na mtaji angalau kiasi gani cha level ya chini kabisa kama ndiyo nataka nianze, changamoto zake zipoje, faida zake vipi, na namna ya uendeshwaji wake upoje?
Poleni na majukumu na nitashukuru endapo nitasaidiwa kwa hili.
Ninaomba taarifa juu ya biashara ya bucha ya nyama ya ng'ombe na Mbuzi, inapaswa niwe na mtaji angalau kiasi gani cha level ya chini kabisa kama ndiyo nataka nianze, changamoto zake zipoje, faida zake vipi, na namna ya uendeshwaji wake upoje?
Poleni na majukumu na nitashukuru endapo nitasaidiwa kwa hili.