Biashara ya Bucha la Nyama ya Ng'ombe na Mbuzi

Biashara ya Bucha la Nyama ya Ng'ombe na Mbuzi

A love

Member
Joined
May 17, 2021
Posts
93
Reaction score
119
Habari zenu wana JF,

Ninaomba taarifa juu ya biashara ya bucha ya nyama ya ng'ombe na Mbuzi, inapaswa niwe na mtaji angalau kiasi gani cha level ya chini kabisa kama ndiyo nataka nianze, changamoto zake zipoje, faida zake vipi, na namna ya uendeshwaji wake upoje?

Poleni na majukumu na nitashukuru endapo nitasaidiwa kwa hili.
 
Habari zenu wana JF,

Ninaomba taarifa juu ya biashara ya bucha ya nyama ya ng'ombe na Mbuzi, inapaswa niwe na mtaji angalau kiasi gani cha level ya chini kabisa kama ndiyo nataka nianze, changamoto zake zipoje, faida zake vipi, na namna ya uendeshwaji wake upoje?

Poleni na majukumu na nitashukuru endapo nitasaidiwa kwa hili.
Uko wapi?manake eneo unalotaka kufanyia biashara.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeongezea hapo na mbwa kama ni Iringa ili wateja wengine usiwakose! Anyway ngoja waje watupe taarifa
 
Kwa mkoa uliopo nakushauri ufanye kuuza kitimoto rost tafuta location yenye malori na bar zaidi.
 
Back
Top Bottom