KALITHERMAL
Member
- Aug 22, 2013
- 81
- 8
Wadau,
nimepata idea ya kuwa na car wash,kama kuna mtu ana idea na hii biashara,ugumu na urahisi wake,challenges na mengineyo.
Biashara nawaza kuifanya hapa hapa dar es salaam.mwenye mawazo tafadhali....naomba ushauri
nimepata idea ya kuwa na car wash,kama kuna mtu ana idea na hii biashara,ugumu na urahisi wake,challenges na mengineyo.
Biashara nawaza kuifanya hapa hapa dar es salaam.mwenye mawazo tafadhali....naomba ushauri