KALITHERMAL Member Joined Aug 22, 2013 Posts 81 Reaction score 8 Nov 18, 2013 #1 Wadau, nimepata idea ya kuwa na car wash,kama kuna mtu ana idea na hii biashara,ugumu na urahisi wake,challenges na mengineyo. Biashara nawaza kuifanya hapa hapa dar es salaam.mwenye mawazo tafadhali....naomba ushauri
Wadau, nimepata idea ya kuwa na car wash,kama kuna mtu ana idea na hii biashara,ugumu na urahisi wake,challenges na mengineyo. Biashara nawaza kuifanya hapa hapa dar es salaam.mwenye mawazo tafadhali....naomba ushauri