biashara ya Chakula cha kuku

Spinster

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2012
Posts
487
Reaction score
138
wadau Naomba msada ..kuhusu biashara hii ..inalipa? na je inaitaj mtaj kiasi gan.? pia unaitaj ujuzi wowote?
 
Sijaelewa unataka kuwa kama wakala wa kununua kutoka kwa watengenezaji na kuuza kwa wafugaji? au unataka kuanzisha/kuproduce brand yako mwenyewe na kuuza.?
Hakuna biashara ambayo hailipi inategemea umetarget vipi soko lako,
wafugaji wapo wengi na kila mfugaji anachakula anachokiamini ktk kulisha kuku wake. Angalia eneo ulipo Je wafugaji wanapendelea kulisha chakula gani na kwanini? Fanya survey ya eneo lako la biashara ndipo uanzie hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…