Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 82
Wakuu habari zenu,
Kwa muda nimekuwa na hamu ya kuanzisha biashara ya Chakula cha mifugo, kwa ajili ya wafugaji. Lakini mbali na chakula nitauza vifaa vya ufugaji na nitakuwa wakala wa vifaranga vya kuku wa kisasa, kienyeji na kwale na nitakuwa natoa huduma ya utotoleshaji vifaranga.
Chakula nitakachouza ni pamoja na mahindi, dengu, mashudu ya alizeti, mashudu ya pamba etc, na vile vile nitakuwa wakala wa kuuza chakula cha kuku wa kisasa laani layers na broilers. Hii ni plan yangu ya muda mfupi lakini baada ya muda wa mwaka mmoja nataka nianze kupack chakula changu mwenyewe, nadhani by then nitakuwa nimeshanunua mashine ya kutayarishia vyakula vya mifugo na vifaa vya packaging.
Naomba mwana JF mwenye uzoefu na biashara hii anipe ushauri wa nini cha kufanya, wapi naweza kupata bidhaa hizi kwa bei nzuri itakayo niletea faida nzuri. Na changamoto zake kwa ujumla.
Location ninayo na ni nje ya mji, kwa hiyo kwa ufupi kodi ya pango ninayo, budget ya promotion ninayo, Bei ya kununua bidhaa ninayo na Bei za kuuzia ninazo tayari.
Naombeni ushauri wenu.
Wasalaam Mambo Jambo, Dar es Salaam
Kwa muda nimekuwa na hamu ya kuanzisha biashara ya Chakula cha mifugo, kwa ajili ya wafugaji. Lakini mbali na chakula nitauza vifaa vya ufugaji na nitakuwa wakala wa vifaranga vya kuku wa kisasa, kienyeji na kwale na nitakuwa natoa huduma ya utotoleshaji vifaranga.
Chakula nitakachouza ni pamoja na mahindi, dengu, mashudu ya alizeti, mashudu ya pamba etc, na vile vile nitakuwa wakala wa kuuza chakula cha kuku wa kisasa laani layers na broilers. Hii ni plan yangu ya muda mfupi lakini baada ya muda wa mwaka mmoja nataka nianze kupack chakula changu mwenyewe, nadhani by then nitakuwa nimeshanunua mashine ya kutayarishia vyakula vya mifugo na vifaa vya packaging.
Naomba mwana JF mwenye uzoefu na biashara hii anipe ushauri wa nini cha kufanya, wapi naweza kupata bidhaa hizi kwa bei nzuri itakayo niletea faida nzuri. Na changamoto zake kwa ujumla.
Location ninayo na ni nje ya mji, kwa hiyo kwa ufupi kodi ya pango ninayo, budget ya promotion ninayo, Bei ya kununua bidhaa ninayo na Bei za kuuzia ninazo tayari.
Naombeni ushauri wenu.
Wasalaam Mambo Jambo, Dar es Salaam