Fenuchi
Senior Member
- May 5, 2019
- 116
- 38
Biashara hii imeshamiri sana katika maeneo ya Dar es salaaam hususan mida ya jioni ambapo chapati moja huuzwa kwa wastani wa Sh. 500.
Wakuu naombeni mchanganuo wa hii biashara nataka kufungua maeneo ya Mbezi Mwisho, Dar es salaam.
1. Mbinu zake
2. Starting capital
3. Changamoto zake nk
Wakuu naombeni mchanganuo wa hii biashara nataka kufungua maeneo ya Mbezi Mwisho, Dar es salaam.
1. Mbinu zake
2. Starting capital
3. Changamoto zake nk