Ngoja waje mkuu.Biashara hii imeshamiri sana katika maeneo ya Dar es salaaam hususan mida ya jioni ambapo chapati moja huuzwa kwa wastani wa Sh. 500.
Wakuu naombeni mchanganuo wa hii biashara nataka kufungua maeneo ya Mbezi Mwisho, Dar es salaam.
1. Mbinu zake
2. Starting capital
3. Changamoto zake nk
Majiko ya gas la chapati5Location ndo kila kitu kwenye hii biashara.
Weka na soda, artificial juices, weka fresh juice, maziwa na kachai katamu.
Unaweza weka madoido mishkaki ya mia tatu, kachumbari fulani hivi ya kiswazi ya kabeji tamu tamu.
Yale majiko unaweza tengeneza gerezani au nunua special ya gesi au wakudesign ya kibongo lakini unaweza tumia kwa gas.
Tengeneza meza, go live.
majiusing Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa maelekezo yako bossLocation ndo kila kitu kwenye hii biashara.
Weka na soda, artificial juices, weka fresh juice, maziwa na kachai katamu.
Unaweza weka madoido mishkaki ya mia tatu, kachumbari fulani hivi ya kiswazi ya kabeji tamu tamu.
Yale majiko unaweza tengeneza gerezani au nunua special ya gesi au wakudesign ya kibongo lakini unaweza tumia kwa gas.
Tengeneza meza, go live.
Sent using Jamii Forums mobile app