Chips zimenye mapema uziloweke kwenye maji yenye chumvi
Mishikaki imarenate vizuri kuongeza ubora
Kuku loweka na ndimu,mint leaves chumvi na tangawizi +garlic halafu ukatie kitunguu maji, kuna mahali niliona wanawaloweka na unga wa ngano Ila bado Sijaelewa vizuri
Chagua siku uwe na special plate
Labda ya biriani ama mbuzi ama pidgin unique lisilopikwa na watu wengi
Offer delivery on time
Nunua microwave usilishe wateja vyakula vya baridi
La muhimu zaidi ni usafi wa mazingira,vyombo na wahudumu,
Weka maua nje ama ndani inaleta uhai wa eneo
Anza na mtaji wa 350,000
Jinsi ya kuanzisha biashara ya chips kwa 435,000
Gharama za kudumu
Jiko la chips. 30,000
Jiko la mishikaki 25,000-45,000
Kabati la vioo 200,000
Sahani 10. 15,000
Vikorokoro vya kusaidia kazi 30,000
Ndoo unaweza Tumia za kwako sio lazima Ununue
Gharama za kuendesha biashara
Kodi. 50,000 kila siku pengine 3000
Mkaa 7000
Ndoo ya Viazi 15,000
Kuku 10000
Mafuta 3 litre @14,000
Mayai Trey moja 8000
Usisahau Maji, umeme, pia miundombinu ya sehemu utakapofanyia biashara yako hiyo
Kaka na upande huu umepitia pitia kidogo?
Nimerejea sasa naomba niongee mtazamo wangu na kile ninachofahamuSaa ngapi tena
Nimerejea sasa naomba niongee mtazamo wangu na kile ninachofahamu
Biashara ya chakula ni nzuri sana kama una wateja wa uhakika na hakuna ushindani na bei ni nzuri... Unakuwa na target ya siku ama wiki
Lakini sasa kama unapika na huna wateja wa uhakika na bei zako ni hizi bei za mitaani na kuna ushindani utapata tabu sana
Huko kuna ushindani halali na haramu
Huko kuna ushirikina na uchawi
Huko ili kupata faida nzuri unahitaji kufanya dhambi, dhuluma ama ujanjaujanja kama kupata vitu vya wizi, na ambavyo viko chini ya viwango.... Mchele, maharagwe, nyama, kuni mkaa mafuta nknk
Kuepuka hasara inabidi chakula kikibaki usikitupe bali ukizimue siku inayofuata na hata kama kila dalili za kuharibika inabidi kufumba macho tu
Upunjaji wa kipimo cha nia ya kuongeza faida ni mambo yanayofanyika sana....
Sasa kama unataka kufanya hii biashara jiandae na hizi changamoto... Unaweza kufanya halali unafilisika na wenzio wakafanya haramu wanatoboa... Utachagua upande gani? Kazi ni kwako
Biashara ya chipsi sio aiseeSina hamu na biashara ya chips! Nilipata hasars karibu shilingi laki 6.
Ulifata maelezo ya RINEI vipi mrejesho au umeiacha kabisa hiyo biashara?Biashara ya chipsi sio aisee
Vip mkuu..tupe update..wengine klunataka kujitungua kwny chipsBiashara ya chipsi sio aisee
Chips zinalipa sana..ZA asubuhi hii Wadau
Nimekuwa nikiwaza namna ya kuanzisha mghahawa kwa mda mrefu na sasa naona kama wakati umefika.
Ingawa nahitaji kuuza chakula ila nimeona nianze na chips halafu vigine vitafata pole pole..
Ninachohitaji kujuwa kutoka kwa wazoefu ni.
1. Namna ya kuboresha chips lakini ziwe na faida.
2. Faida ninayoweza kutegeneza.
3. Vitu gani nikiweka kama nyogeza mfano.. kachumbali.. vitaweza kuvutia wateja zaidi.
4. Wazo lolote zuri unaweza ukaniogezea.
Mimi sitakuwa kuwa mpishi kwa hiyo itabidi niweke mtu wa kupika..
Tayari nimepata eneo na ni karibu na stand ndogo hivyo kuna muingiliano wa watu.
Nakaribisha wazo na ushauri. Na kama unaona tunaweza kuongea kuliko kuandika. Basi sio mbaya ukanipa namba yako PM na nitakupigia.
Mwanza kwetu.
Sijasema hivyo lakini kwenye biashara kuna dhuluma nyingi sanaInamaana nikijikita kwa Mungu na nikafanya haki badi mambo yatakuwa magumu.?
Chips zimenye mapema uziloweke kwenye maji yenye chumvi
Mishikaki imarenate vizuri kuongeza ubora
Kuku loweka na ndimu,mint leaves chumvi na tangawizi +garlic halafu ukatie kitunguu maji, kuna mahali niliona wanawaloweka na unga wa ngano Ila bado Sijaelewa vizuri
Chagua siku uwe na special plate
Labda ya biriani ama mbuzi ama pidgin unique lisilopikwa na watu wengi
Offer delivery on time
Nunua microwave usilishe wateja vyakula vya baridi
La muhimu zaidi ni usafi wa mazingira,vyombo na wahudumu,
Weka maua nje ama ndani inaleta uhai wa eneo
Hornet kijiwe cha chips umeanza kuongelea mpaka biriani mkuu???
Mpwa wangu alianza hiyo biashara Arusha, kijiwe chake kina wateja. Siku hizi hata akija home kwenye misiba anazika na kuondoka. Anasema wateja wakikukosa siku mbili tatu wanahama kijiwe.