Biashara ya Coin Betting maarufu kama 'Bonanza la Mchina'

Biashara ya Coin Betting maarufu kama 'Bonanza la Mchina'

MC44

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
2,169
Reaction score
3,297
Habari

Naomba mwenye uzoefu wa faida ya haya madude, yanalipa pesa nzuri? Nataka niweke kibarazani kwangu



Baadhi ya Michango toka kwa Wadau

=======

Hayauzwi, ila unaongea na kukubaliana nao wakuwekee mahali ambapo wewe unaona kuna vijana wengi, na unadhani kuna mzunguko wa hela.

wanakuletea hilo dude, na coins za 200tshs zilizo kwny trays jumla ya tshs 60,000 kama sikosei. Wanaweza wakupe hivi vidude viwili au vitatu. kwahiyo wachezaji wanakuja na hela ya noti, unawapa cheni za mia mbili mbili kulingana na thamani ya noti. Coins zikiisha, unawapigia wachina wanakuletea coins zingine wanachuka noti za hela walio kuachia awali, ijapo wanatabia ya kungukia kila siku kukagua.

Siku wakifungua hiyo mashine mbele yako au mfanyakazi wako, kwny kila elfu sitini au laki wanayo chukua huwa nadhani "nimesahau" wanakuachia elfu tisa au saba. Kama mzunguko mkubwa, wanaweza wawe wanachukua hata laki2 naa kama sikosei, kwa siku ama siku mbili. Kwa mfano kama wamechukua kwny mashine, sio kwny ile tray, shilingi laki3 nasi piga hiyo hesabu hapo juu.

========

Hayauzwi ila unaongea na wale wachina wanakuwekea barazani kwako halafu wanakupa tray ambayo Ina coin ya elfu sitini wanaweza wakakupa hatu tatu kulingana na mtaji wako alafu wanapita japo Mara mbili kwa wiki kucheki faida Kila faida ya trei moja ambayo ni elfu sitini utapokea elfu saba hamna haja ya leseni wala nini ni kibaraza tu na mhudumu ndio anatakiwa hapo kwa ajili ya kubadili coin na noti

Note: Ni mchezo mbaya Sana ambao umefirisi watu bila kutarajia nilimshuhudia mtu kwa macho yangu akiliwa 1.5 m hivi hivi pili jichunge na watoto usije gombana na wazazi wao kwa kuibiwa Mia mbili zao ila wakacheze Bonanza Mimi mwenyewe niliwahi kupigwa laki kiutani utani tu halafu hatu sikulielewa Bora Ni beti tu

Mrejesho wa biashara hii: Mrejesho: Biashara ya "Bonanza la Mchina"
 
Habar...naomba mwenye uzoefu wa faida ya haya madude....yanalipa pesa nzuri?
nataka niweke kibarazani kwangu

Hayauzwi, ila unaongea na kukubaliana nao wakuwekee mahali ambapo wewe unaona kuna vijana wengi, na unadhani kuna mzunguko wa hela.

wanakuletea hilo dude, na coins za 200tshs zilizo kwny trays jumla ya tshs 60,000 kama sikosei. Wanaweza wakupe hivi vidude viwili au vitatu. kwahiyo wachezaji wanakuja na hela ya noti, unawapa cheni za mia mbili mbili kulingana na thamani ya noti. Coins zikiisha, unawapigia wachina wanakuletea coins zingine wanachuka noti za hela walio kuachia awali, ijapo wanatabia ya kungukia kila siku kukagua.

Siku wakifungua hiyo mashine mbele yako au mfanyakazi wako, kwny kila elfu sitini au laki wanayo chukua huwa nadhani "nimesahau" wanakuachia elfu tisa au saba. Kama mzunguko mkubwa, wanaweza wawe wanachukua hata laki2 naa kama sikosei, kwa siku ama siku mbili. Kwa mfano kama wamechukua kwny mashine, sio kwny ile tray, shilingi laki3 nasi piga hiyo hesabu hapo juu.
 
Mkuu unataka kuhujumu chumi zetu za coin..?
Kaa ukijua lazima uwe na leseni maana hiyo ni biashara na Kuna sheria zake mwanzoni utapiga hela ila baadae watu wakiliwa Sana wanakula Kona tegemea Hilo😂
 
Hayauzwi, ila unaongea na kukubaliana nao wakuwekee mahali ambapo wewe unaona kuna vijana wengi, na unadhani kuna mzunguko wa hela.

wanakuletea hilo dude, na coins za 200tshs zilizo kwny trays jumla ya tshs 60,000 kama sikosei. Wanaweza wakupe hivi vidude viwili au vitatu. kwahiyo wachezaji wanakuja na hela ya noti, unawapa cheni za mia mbili mbili kulingana na thamani ya noti. Coins zikiisha, unawapigia wachina wanakuletea coins zingine wanachuka noti za hela walio kuachia awali, ijapo wanatabia ya kungukia kila siku kukagua.

Siku wakifungua hiyo mashine mbele yako au mfanyakazi wako, kwny kila elfu sitini au laki wanayo chukua huwa nadhani "nimesahau" wanakuachia elfu tisa au saba. Kama mzunguko mkubwa, wanaweza wawe wanachukua hata laki2 naa kama sikosei, kwa siku ama siku mbili. Kwa mfano kama wamechukua kwny mashine, sio kwny ile tray, shilingi laki3 nasi piga hiyo hesabu hapo juu.
Nashukuru .
Jee wakija kucheza na 200 zao kina shida? Bila kununua zile za wachina
 
Mkuu unataka kuhujumu chumi zetu za coin..?
Kaa ukijua lazima uwe na leseni maana hiyo ni biashara na Kuna sheria zake mwanzoni utapiga hela ila baadae watu wakiliwa Sana wanakula Kona tegemea Hilo😂
Ila kwa sababu hayauzwi...ngoja niweke kibarazani ikibuma waje wa hukue
 
Nashukuru .
Jee wakija kucheza na 200 zao kina shida? Bila kununua zile za wachina


ndiyo nzuri zaidi, lengo ni wao wacheze na hela zao. na kimsingi wanacheza hela zao, ila wewe kuwa na hizo coins ni kurahisisha chenchi
 
Mkuu unataka kuhujumu chumi zetu za coin..?
Kaa ukijua lazima uwe na leseni maana hiyo ni biashara na Kuna sheria zake mwanzoni utapiga hela ila baadae watu wakiliwa Sana wanakula Kona tegemea Hilo😂
Leseni anakuwa nayo, mwenye mashine (mchina,), ila kwa anaye kodishiwa haitaji leseni.
 
Hayauzwi ila unaongea na wale wachina wanakuwekea barazani kwako halafu wanakupa tray ambayo Ina coin ya elfu sitini wanaweza wakakupa hatu tatu kulingana na mtaji wako alafu wanapita japo Mara mbili kwa wiki kucheki faida Kila faida ya trei moja ambayo ni elfu sitini utapokea elfu saba hamna haja ya leseni wala nini ni kibaraza tu na mhudumu ndio anatakiwa hapo kwa ajili ya kubadili coin na noti

Note: Ni mchezo mbaya Sana ambao umefirisi watu bila kutarajia nilimshuhudia mtu kwa macho yangu akiliwa 1.5 m hivi hivi pili jichunge na watoto usije gombana na wazazi wao kwa kuibiwa Mia mbili zao ila wakacheze Bonanza Mimi mwenyewe niliwahi kupigwa laki kiutani utani tu halafu hatu sikulielewa Bora Ni beti tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayauzwi ila unaongea na wale wachina wanakuwekea barazani kwako halafu wanakupa tray ambayo Ina coin ya elfu sitini wanaweza wakakupa hatu tatu kulingana na mtaji wako alafu wanapita japo Mara mbili kwa wiki kucheki faida Kila faida ya trei moja ambayo ni elfu sitini utapokea elfu saba hamna haja ya leseni wala nini ni kibaraza tu na mhudumu ndio anatakiwa hapo kwa ajili ya kubadili coin na noti

Note: Ni mchezo mbaya Sana ambao umefirisi watu bila kutarajia nilimshuhudia mtu kwa macho yangu akiliwa 1.5 m hivi hivi pili jichunge na watoto usije gombana na wazazi wao kwa kuibiwa Mia mbili zao ila wakacheze Bonanza Mimi mwenyewe niliwahi kupigwa laki kiutani utani tu halafu hatu sikulielewa Bora Ni beti tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu
 
ndiyo nzuri zaidi, lengo ni wao wacheze na hela zao. na kimsingi wanacheza hela zao, ila wewe kuwa na hizo coins ni kurahisisha chenchi
Wachezaji wakishinda kwa wingi ,mchina si atapata hasara?
Mimi nitalipwa?
 
Wachezaji wakishinda kwa wingi ,mchina si atapata hasara?
Mimi nitalipwa?

kamari zote duniani zimetengenezwa kwa yule mwenye kamari ana advantage kubwa sana ya kushinda kuliko anayecheza..

iwe kubet mpira, iwe kamari ya karata 3 barabarani au yyte ile unayo ijua wewe.. yule anaye chezesha ana upper hand na ndio ilivyo kwa hizo mashine
 
kamari zote duniani zimetengenezwa kwa yule mwenye kamari ana advantage kubwa sana ya kushinda kuliko anayecheza..

iwe kubet mpira, iwe kamari ya karata 3 barabarani au yyte ile unayo ijua wewe.. yule anaye chezesha ana upper hand na ndio ilivyo kwa hizo mashine
Mh ngoja niiweke chap nitatoa mrejesho hapa hapa
 
Hayauzwi ila unaongea na wale wachina wanakuwekea barazani kwako halafu wanakupa tray ambayo Ina coin ya elfu sitini wanaweza wakakupa hatu tatu kulingana na mtaji wako alafu wanapita japo Mara mbili kwa wiki kucheki faida Kila faida ya trei moja ambayo ni elfu sitini utapokea elfu saba hamna haja ya leseni wala nini ni kibaraza tu na mhudumu ndio anatakiwa hapo kwa ajili ya kubadili coin na noti

Note: Ni mchezo mbaya Sana ambao umefirisi watu bila kutarajia nilimshuhudia mtu kwa macho yangu akiliwa 1.5 m hivi hivi pili jichunge na watoto usije gombana na wazazi wao kwa kuibiwa Mia mbili zao ila wakacheze Bonanza Mimi mwenyewe niliwahi kupigwa laki kiutani utani tu halafu hatu sikulielewa Bora Ni beti tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wewe laki mimi kunasiku niliongozwa na akili za Serengeti nikakuta umetoka mkanda juu zimesoma tokeni mia sita na kitu jamaa mmoja akadouble zikapanda 1200 na kitu asee si namimi nikadouble zikaliwa sitakaa nisahau nilihisi baridi ghafla nikalipa hela ya watu namimi nikakaa sasa ili nirudishe hela yangu asee kilichonipata.
 
Mh ngoja niiweke chap nitatoa mrejesho hapa hapa

hujaweka hata mia, wewe ni kuweka utaratibu lisimamiwe kisha unalipwa. una hasara gani

kuna watu wanakodi frem, wanaweka hizo kama 6 hivi na wanafanya vyema..

onyo: usivutiwe kucheza, utakwisha
 
Hayauzwi, ila unaongea na kukubaliana nao wakuwekee mahali ambapo wewe unaona kuna vijana wengi, na unadhani kuna mzunguko wa hela.

wanakuletea hilo dude, na coins za 200tshs zilizo kwny trays jumla ya tshs 60,000 kama sikosei. Wanaweza wakupe hivi vidude viwili au vitatu. kwahiyo wachezaji wanakuja na hela ya noti, unawapa cheni za mia mbili mbili kulingana na thamani ya noti. Coins zikiisha, unawapigia wachina wanakuletea coins zingine wanachuka noti za hela walio kuachia awali, ijapo wanatabia ya kungukia kila siku kukagua.

Siku wakifungua hiyo mashine mbele yako au mfanyakazi wako, kwny kila elfu sitini au laki wanayo chukua huwa nadhani "nimesahau" wanakuachia elfu tisa au saba. Kama mzunguko mkubwa, wanaweza wawe wanachukua hata laki2 naa kama sikosei, kwa siku ama siku mbili. Kwa mfano kama wamechukua kwny mashine, sio kwny ile tray, shilingi laki3 nasi piga hiyo hesabu hapo juu.
Mkuu inaonekana ni joker mzuri sana wewe; si kwa ufafanuzi huu mujarabu.

Kwenye betting ya mpira ukihitaji uwakala wa kama play master, throne bet, princes nk. ( wakafungulie chumba kabisa ambacho kitakuwa kina zile live betting, dog racing nk

Waweza dokeza pia utaratibu wake ni upi na malipo yao huwaje.
 
Gudugudu...!

Mshkaji wangu mwalimu tarehe 24 November mwaka jana alitoka kutoa Salary yake laki 3 palepale akapigwa 280 akawasha pikipiki akaondoka na elfu 20 tu

Kesho yake akazinguana na wife, wife akarudi kwao...sasahivi wamesuluhisha na jamaa athubutu hata kukaribia hili dude.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duu alikuwa haoni kama zinaisha,?
 
Back
Top Bottom