Biashara ya Coltan

Nenda Congo Drc,Ila ukienda vibaya utaliwa pesa zote .....bongo utatapeliwa.
 
Habari zenu wadau,
Ninaomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata madini ya COLTAN ili tuweze kufanya biashara,
Mnunuzi yupo tayari.
Ahsanteni.
Unaijua hii biashara vzr ? Nikuunganishe na mutu aliye DRC ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…