Kachukue Tanga maeneo ya Sahare,pangani,kipumbwi na mkwaja, huko Zanzibar utaenda ukiwa na mtaji mkubwa.
Usafiri wa boti kwa gunia, utalipia TPA kwa kila Cubic meter 1 ni usd 5, gharama za kupakia na kushusha, usafiri wa kutoa bandarini mpaka ulipo. Zanzibar ni ghali