Biashara ya Dawa na vifaa vya Mifugo

Mungu Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
1,474
Reaction score
1,080
Habari za Jpili JF, Nina wazo la kuanzisha Duka la kisasa la Dawa za mifugo, naishi eneo la wafugaji hivyo sina wasiwasi na wateja. Issue ni dondoo za biashara hii, mfn.Dawa za jumla zinanunuliwa wapi, utaratibu wa kusajili, nk. Naomba ushauri wenye Tija
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…