Biashara ya dawa za binadam kutoka india

Biashara ya dawa za binadam kutoka india

THOMAS LUTEGO

New Member
Joined
Mar 13, 2012
Posts
1
Reaction score
0
Nafikilia kufanya biashra ya dawa za binadam kutoka india hapa nchini , tatizo kubwa sifaham taratibu za vibari pamoja na kanuni za kuingiza mizigo kupitia bandari zetu hapa nchini , naombeni mchango wa mawazo wana JF
 
Utatakiwa kuwa na mfamasia,kusajili kila dawa utakayo import kama haijasajiliwa na tfda
pia utatakiwa kua na eneo/mfumo wa utunzaji wa dawa zako na unapaswa kutafuta clearance agent au kampuni itakayoshughulika na uingizwaji mzigo
 
Back
Top Bottom