Biashara ya dawa za binadam kutoka india

THOMAS LUTEGO

New Member
Joined
Mar 13, 2012
Posts
1
Reaction score
0
Nafikilia kufanya biashra ya dawa za binadam kutoka india hapa nchini , tatizo kubwa sifaham taratibu za vibari pamoja na kanuni za kuingiza mizigo kupitia bandari zetu hapa nchini , naombeni mchango wa mawazo wana JF
 
Utatakiwa kuwa na mfamasia,kusajili kila dawa utakayo import kama haijasajiliwa na tfda
pia utatakiwa kua na eneo/mfumo wa utunzaji wa dawa zako na unapaswa kutafuta clearance agent au kampuni itakayoshughulika na uingizwaji mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…