Kwema wakuu.!! nilikua nahitaj kupata mchango wa mawazo kwa wale wenye uzoef kidogo na biashara gani mtu anaweza fanya kwa kuzungusha madukani na kufanya delivery kwa baadh ya watu.
mfano hawa wanaotembeza sigara kwa pikipiki.
Tofauti na hivo ni biashara gani nyingne unaweza ifanya kwa mzunguko kama huo.