Biashara ya dhahabu last season will be On June 2024

Aya tupe darasa mkuu...
 
Nimezaliwa kwenye dhahabu ,kweli kabisa dhahabu ikikubali ni dakika Tu unakuwa mtu mwingine kweny hii Dunia..na kukufirisi ni dakika Tu...pia ushirikina ni lazima kwenye dhahabu...hakuna Mungu kule...hongera kama zimekukubali..Mimi zilinigomea kbs..mpka sshv nipo mjini Tu nasaka chenji ndogo ndogo tu.
 
mimi natamani niwe broker wa dhahabu ila nataka kwanza niingie kule mgodini ninifunze kwanza
hapa sahizi nina kiasi ya kianzia maisha kama nikifanikiwa kumpata mwenyeji kule machimbo maana sijui a wala b. mkuu kama unahitaj mfanyakazi wa kunitolea naomba unichukue
 
90% unafanikiwa . Uko sahihi. Anayekataa hajui kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…