Biashara ya dhahabu.

Biashara ya dhahabu.

kunyala

Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
76
Reaction score
18
Tafadhalini wakuu naomba yeyote mwenye utaalamu wa biashara hii Tanzania anipe mwongozo.nataka niijaribu kwa ujasiriamali.Kule shinyanga inatikana vp na nani ni wanunuzi wakubwa na inachukuliwa ikiwa katika hali gani.Namaliza na shukrani.
 
Back
Top Bottom