reginahope
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 163
- 30
Dhahabu itafute uifahamu kwanza..uishike uielewe kabla ya kujiingiza kwenye biashara...jaribu kufanya safari kwenda kwenye migodi midogo midogo then uelewe kwanza halafu huko nipo utapata bei ya shambani hii inategemea na eneo na eneo halafu from there ndio unaweza kudetermine utaiuza raw kwa bei gani ila kuwa na scale ni muhimu na pia (mguu wa kuku) in case mtaji wako ni mkubwa.habarini wanajamvi. jamani naombeni mwenye kufahamu vizuri biashara hii ipo vipi. binafsi sifahamu imekaa vp ila natamani sn kufanya biashara ya kununua dhahabu kwenye migodi hapa tz na kwenda kuuza nairobi kwani nimesikia soko ni zuri huko. kwa mwenye ufahamu naomba msaada na jinsi ya kuyatofautisha original na fake. natanguliza shukrani zangu
Dhahabu itafute uifahamu kwanza..uishike uielewe kabla ya kujiingiza kwenye biashara...jaribu kufanya safari kwenda kwenye migodi midogo midogo then uelewe kwanza halafu huko nipo utapata bei ya shambani hii inategemea na eneo na eneo halafu from there ndio unaweza kudetermine utaiuza raw kwa bei gani ila kuwa na scale ni muhimu na pia (mguu wa kuku) in case mtaji wako ni mkubwa.
dhahabu itafute uifahamu kwanza..uishike uielewe kabla ya kujiingiza kwenye biashara...jaribu kufanya safari kwenda kwenye migodi midogo midogo then uelewe kwanza halafu huko nipo utapata bei ya shambani hii inategemea na eneo na eneo halafu from there ndio unaweza kudetermine utaiuza raw kwa bei gani ila kuwa na scale ni muhimu na pia (mguu wa kuku) in case mtaji wako ni mkubwa.
ubabe kwa sababu ya nini sijakuelewa vizuri............na huko inabidi uwe mbabe kweli kweli pia uwe na wapambe wa kutosha............
Anakutishia tu ila si unajua story za migodini ila kama unataka info zaidi ni pm nikupe maelezo na kama unataka kuifahamu dhahabu na biashara yake.ubabe kwa sababu ya nini sijakuelewa vizuri